Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali ipunguze ushuru bidhaa za hoteli

Ijumaa , 6th Jan , 2023

Wadau wa uwekezaji kwenye biashara ya hotelia wameomba Serikali endapo itawezekana kupunguza baadhi ya ushuru katika baadhi ya vifaa na bidhaa wanazoagiza kwa matumizi ya hoteli ikiwemo vifungashio vya chakula na vinywaji kwa kipindi hiki tu ambacho hoteli nyingi zimeathiriwa.

Mapema hii leo Eatv imezungumza na mdau na mfanyabiashara katika sekta ya hoteli na vinywaji ambaye amesema kwa kipindi chote cha uviko 19 sekta iliyumba na wawekezaji kulazimika kupunguza baadhi ya watumishi huku kwa kipindi chote biashara ikifanyika kwa wazaw3a kutokana na watalii wengi kusalia katika nchi zao.

Robert Antony mdau wa sekta hiyo amesema wawekezaji wengi wa hoteli zilizoko katika fukwe wamekuwa wakipatiwa ushirikiano mkubwa kutoka kwa taasisi zingine za mazingira,chakula na dawa pamoja na vyombo vya ulinzi katika kuhakikisha wageni wanaofika wanakuwa salama wasio na madhara.

Pia amewataka wawekezaji wengine wazawa kwenye upande wa hotelia kuacha ujanja wa kuficha taarifa za mapato kwa mamlaka za kukusanya kodi kwa kuwa unapodai huduma wajibu wako kama mfanyabiashara ni kuweka kumbukumbu zako sawa.

Ameweka wazi kuwa uzinduzi wa filamu ya Royal tour uliofanywa na Rais DK Samia Suluhu Hassanulirejesha matumaini na kufufua sekta ya utalii kwa kasi.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa