Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mufindi wahamasishwa kuvuna utomvu wa miti

Jumapili , 15th Oct , 2023

Mkuu wa wilaya ya Mufindi mkoani Iringa Dkt. Linda Salekwa amewataka wananchi wa wilaya hiyo kuchangamkia fursa ya biashara ya kuvuna utomvu wa miti ya mbao laini (pine) ili kukuza kipato chao

Dkt. Seleka ameyasema hayo Mwishoni mwa juma alipokuwa katika kiwanda cha Mastan Solution Company Limited kinachojihusisha na uvunaji wa utomvu huo na kusafirisha nje ya nchi kama malighafi za viwandani 

Dkt. Salekwa amesema licha ya Kiwanda hicho kufanya kazi nzuri ipo haja ya kuanzishwa kiwanda kingine ambacho kitafanya uzalishaji wa awali tofauti na ilivyo sasa ambapo malighafi inasafirishwa kwenda nje ya nchi.

"Natamani tufike mbali si kuuvuna utomvu tu na kuusafirisha kama malighafi ,ningependa itafutwe namna ama Teknolojia itakayokuwa na uwezo wa kutengfeneza vitu mbalimbali ambavyo vinatokana na utomvu huu'' Alisema Dkt. Salekwa

Dkt Saleka amesema lengo la ziara hiyo ni kutembelea viwanda vyote vya Wilaya hiyo kwaajili ya kusikiliza na kuzipatia ufumbuzi kero za wa wafanyakazi wa Viwanda hivyo 

Awali akizungumzia shughuli zinazofanyika Kiwandani hapo, Mkurugenzi wa Kiwanda hicho Magaka mponda ameeleza changamoto ambayo wanakumbana nayo kuwa ni uelewa mdogo kwa wananchi kuhusu biashara hiyo ya uvunaji wa utomvu katika mashamba yao.

'' Biashara kwa hapa nchini bado ni mpya hivyo uelewa kwa wananchi bado upo chini wengi wanahofia mitiyao itakufa katika mchakato wa uvunaji lakini tangu wameanza hakuna tatizo lolote ambalo limejitokeza la mti kukauka kutokana na uvunaji wa utomvu huo.'' Alisema Mponda.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya