Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mmachinga wafurahia ahueni waomba kuongezwa muda

Jumanne , 15th Sep , 2020

Wafanyabiashara wadogo wadogo ambao walinufaika na vitambulisho vilivyotolewa na serikali kwa ajili ya kuwasaidia kutambulika rasmi katika ulingo wa biashara wametaka wale waliofanikiwa kupitia mkakati huo na kukua kuwaachia wengine ili waweze kunufaika.

Wakizungumza na EATV wafanyabiashara hao wamesema kuwa vitambulisho hivyo vimekuwa na manuifaa makubwa katika uendelezaji wa biashara zao ikiwemo kupunguza usumbufu ambao waliokuwa wanaupata kutoka kwa mgambo wa Jiji ikiwa ni pamoja na kuwafikia wateja kwa urahisi zaidi hivyo kutaka waliionufaika na kupanda ngazi kibiashara kutoa nafasi kwa wengine kuweza kupata vitambulishi hivyo.

Wamesema licha ya mafanikio waliyopata hadi sasa suala la wateja bado limekuwa chachu kwa maendeleo kutokana na ongezeko la wafanyabiashara wa aina moja za biashara katika sehemu moja hivyo kuomba kuboreshewa kwa kupatiwa maeneo kulingana na aina za biashara pamoja na kupatiwa mafunzo zaidi ya namna ya kujiendeleza na kuwafikia wateja kulingana na mahitaji ya mlaji.

"Vimetusaidia sana kwakweli adha tuliyokuwa tunapata mwanzo hatupati tena, ila tunaombi vitambulisho viwe vya mwaka mmoja sio miezi sita kama ilivyosasa na wengine wanaopata wawe waaminifu" alisema Mustapha Mmoja wa wafanyabiashara

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita