Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahindi yapanda bei mara mbili zaidi

Jumatatu , 26th Sep , 2022

Wakati raia wakiendelea kulalama juu ya kuzidi kuongezeka kwa bei ya nafaka ikiwemo mahindi kwa ajili ya unga.

Magunia ya mahindi

Ripoti ya mapitio ya uchumi ya mwezi Agosti, 2022 yaani (Monthly Economic Review) iliyotolewa na benki kuu ya Tanzania (BoT) inaeleza kuwa bei ya jumla ya gunia la Kilo 100 la mahindi kwa mwaka ulioishia Julai 2022 ilikuwa Sh. 87,383 kutoka Sh. 43,371 iliyorekodiwa kipindi kama hicho mwaka jana. 

"kwasasa mahindi ni kweli yamepanda sana bei, kilo moja ni zaidi ya shilingi 1000 wakati mwaka jana ilikuwa 500 bei ya juu. sababu hapa ni kufunguliwa kwa mipaka kwasababu walivyoruhusu tu mipaka kupitisha mahindi watu wa nje wakaja kununua na wale wakija kununua wao wananaunua kwa bei yoyote na hii ikapelekea mahindi kupungua kwanza nchini, lakin i pia wafanyabiashara wakalazimika kununua kwa bei kubwa kutoka kwa wakulima kwasababu bila kufanya hivyo tusingepata kitu, kingine ni bei ya kusafirisha ambapo sasahivi tunatumia hadi milioni mbili kuleta mzigo mjini tofauti na mwaka jana ambapo milioni moja ilikuwa inatosha kwenye usafiri" - Khatibu Kiroboto, Mfanyabiashara wa mahindi Tandare.

Hivyo basi, hiyo ni sawa na kusema kwamba, wakulima na wafanyabiashara wa mahindi wametia kibindoni Sh. 44,012 zaidi kwa kila gunia moja au sawa na kusema bei hiyo ya mahindi imeongezeka zaidi ya mara mbili ikilinganishwa na bei ya mwaka jana.

HABARI ZAIDI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea

Luteni Jenerali Charles Muriu Kahariri, CDF Mpya wa Kenya

Luteni Charles Muriu ateuliwa kuwa CDF mpya Kenya

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe

Taifa limejitosheleza kwa chakula kwa 124%

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita