Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kampuni ya SBL kuunga mkono ukuzaji Kilimo

Jumatatu , 6th Jun , 2022

Kampuni ya Bia ya Serengeti imesema itaendelea kuchangia jitihada mbali mbali zenye lengo la kukuza sekta ya Kilimo na kuongeza tija kwa wakuima wa ndani.

Akiongea wakati wa kukabidhi vyeti kwa wanafunzi 27 wa Chuo cha Kilimo na Mifugo Kaole kilichopo Bagamoyo mkoani Pwani, ambao wamepata udhamini wa masomo kupitia programu ya Kilimo Viwanda mkurugenzi wa mahusiano kwa umma wa kampuni hiyo John Wanyancha alisema SBL inatambua umuhimu wa Kilimo kwa uchumi na ipo tayari kuunga mkono jitihada za lkukikuza

"Lengo la udhamini huu ni kuona watanzania wanakuwa na uwezo wa kujitegemea kupitia kilimo na sisi tumeamua kulisimamia hili"alisema John Wanyancha, Mkurugenzi wa Mahusiano kwa Umma wa SBL

Kwa upande wake Mkuu wa chuo hicho Sinani Simba, alisema ufadhili wa SBL siyo tu umesaidia wanafunzi wanaosoma Kilimo na ambao wanataoka mwenye familia zenye kipato duni, bali pia kitasaidia kuongeza wataalamu katika sejta hiyo mama kwa uchumi.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya