Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jubilee Allianz yadhamini Mawakala wa Bima.

Alhamisi , 9th Feb , 2023

Kampuni ya Bima ya Jubilee Allianz kwa kushirikiana na benki ya Nbc wamekabidhi vyeti vya mafunzo ya bima kwa mawakala wa benki waliofanya mtihani na kufaulu mafunzo ya uuzaji wa bima yaliyoanza mwezi desemba mwaka 2022.

Mkurugenzi mkuu wa Jubilee Allianz Dipankar Acharya akikabidhi cheti kwa mmoja ya wahitimu wa mafunzo ya uuzaji Bima

Kampuni ya Bima ya Jubilee Allianz Awali ilichagua mawakala wa huduma za kifedha na kuwadhamini kupata mafunzo ya muda mfupi na sasa wako tayari kufanya biashara ya Bima ,ambapo ushirikiano huo unatarajia kutoa mafunzo kwa watu 6000 kufikia mwezi juni mwaka 2023.

“Mawakala ni viungo muhimu sana katika biashara ya bima hivyo tunaimani kwamba nyinyi mawakala mtakwenda kuwapa jamii elimu sahihi kuhusu bima” amesema Dipankar -Mkurugrnzi mkuu Jubilee Allianz.

Hata hivyo wamesema mafunzo hayo yatawawasaidia mawakala hao kufikisha taarifa sahihi kuhusu faida za bima na ni kwa jinsi gani mwananchi atazadi kunufaika kwa kuwa na bima mbalimbali.

Inchini Afrika kusini takwimu zinaonyesha asilimia 14 ya uchumi unatoka kwenye sekta ya bima hivyo wanaamini mafunzo hayo ya uuzaji bima yataongeza chachu katika kuongeza fursa za kibiashara.

 

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda (Mwenye shati ya Bluu) akipata maelekezo wakati wa maonesho ya OSHA 2024 kwenye Viwanja vya General Tyres jijini Arusha.

RC ataka GGML iboreshe maisha ya wananchi Geita

Vijana Waliojiajiri Sekta ya Kilimo, Nigeria

Mishahara yaongezeka nchini Nigeria

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa