Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Coca Cola Kwanza yawezesha mitaji wanawake 300

Jumatatu , 27th Mar , 2023

Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo WAMA Mama Salma Kikwete amewataka makampuni mengine kuiga mfano wa Kampuni ya Coca cola kwanza ambayo imefanya kwa wajasiriamali zaidi ya 300 kuwapa vifaa vya kuinua biashara zao ikiwemo mitungi ya gesi.

Mama Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Mstaafu Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete na Mdau wa Maendeleo ya Wanawake ametoa rai hizo kwenye hafla iliyoandaliwa na Kampuni ya Cocacola Kwanza kwa ajili ya kuwakabidhi wanawake wajasiriamali Majiko na mitungi ya gesi 100 ikiwa ni ajenda ya kampuni hiyo kuwajengea uwezo wa kiuchumi wajasiriamali nchini.

Mkurugenzi Mtendaji wa Coca Cola Kwanza Bw. Unguu Sulay akizungumza kwenye hafla hiyo alisema ajenda hiyo imeungwa mkono na wadau mbalimbali ikiwemo kampuni ya ORXY Gases ambayo imetoa majiko waliyokabidhiwa akina mama hao pamoja Taasisi ya Ustawi wa Jamii ambayo imetoa elimu kwa wajasiriamali hao kujitambua na kuepuka msongo wa mawazo, kutunza vitabu vya kumbukumbu ya mahesabu na huduma kwa wateja.

Hafla hiyo ilianza kwa wajasiriamali hao kuhudhuria darasa la mafunzo ambapo baadhi yao wakaeleza manufaa waliyopata
 

HABARI ZAIDI

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi