Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Coca Cola Kwanza yaanza kutumia gesi kwenye magari

Alhamisi , 30th Mar , 2023

Kampuni ya Coca cola Kwanza imenunua na kuzindua gari aina ya Scania yenye mfumo unaotumia gesi asilia ukiwa ni mkakati wa kulinda mazingira kufuatia mabadiliko ya tabia nchi yanayoendelea kuathiri nchi na dunia kwa ujumla.

Gari aina ya scania inayotumia mfumo wa gesi kwa ajiri ya kusafirisha vinywaji

Akizindua gari hiyo ambayo ni kwa ajiri ya kubeba vinywaji kwa masafa marefu Mkurugenzi wa mipango kutoka kampuni ya Cocacola kwanza Hasi Mzee Ally sambamba na meneja maendeleo biashara kutoka Scania Eliavera Timoth wamesema walikuwa katika matumizi ya awali ya gari hilo tangu mwaka 2021 na sasa kama kampuni wamejiridhisha na kuamua kulinunua gari hilo kutoka Scania.

Wadau hao wameiomba sasa serikali kuangalia namna ya kuongeza vituo vya kujazia gesi ilikuondoa misonganoa ambayo inakuwepo wakifurahishwa na mikakatia ya serikali kutoa leseni kwa watu wenye vuo vya mafuta watakaoweza kuweka mifumo ya kujazia gesi asilima kwenye magari.

Amesema utafiti walioufanya matumizi ya gari hilo linaokoa asilimia 27 ya kila safari linalofanya kutoka wakitoa nafasi kwa makampuni ya ndani yenye uwezo wa kutengeneza matanki makubwa ya kuhifadhia gesi ambayo inaweza kwenda na kurudi umbali ambao hakuna vituo vya kujazia gesi

HABARI ZAIDI

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi