Mabondia Thomas Mashali [kulia] na Francis Miyeyusho wakiwa katika mazoezi ya pamoja.

16 Mei . 2016

Afisa Michezo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Adolf Halii akimvisha mkanda wa UBO Bondia Thomas Mashali kwa niaba ya mkuu wa mkoa.

15 Mei . 2016

Bondia Thomas [Mashali kushoto] akijifua na mkongwe Rashid Matumla.

13 Mei . 2016