Meneja Miradi na Biashara wa Soko la Hisa la Dar es Salaam Bw. Patrick Mususa

9 Mei . 2016

Mkuu wa polisi nchini Tanzania IGP Ernest Mangu. Ofisi yake imetakiwa kueleza alipo rais wa jumuiya ya wanafunzi wa elimu ya juu nchini TAHLISO Musa Mdede, vinginevyo wanafunzi hao wataitisha mgomo wa nchi nzima.

22 Jun . 2014

Msemaji wa mamlaka ya chakula na dawa TFDA, Gaudensia Simwanza.

17 Jun . 2014

Pichani ni moja ya wanamichezo toka chuo cha mtakatifu Paul waliposhiriki michuano ya vyuo vikuu EA iliyofanyika mwaka jana nchini Tanzania

24 Mei . 2014

Wanamichezo toka chuo kikuu cha Mkwawa wakipita kwa maandamano ya ufunguzi wa mashindano ya vyuo vikuu Afrika Mashariki mwaka 2013 yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.

22 Mei . 2014