Kikosi cha mabingwa wapya wa kombe la Kagame 2015/2016 timu ya Azam FC ya Tanzania.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.