WANAWAKE wakiwa katika maandamano kwenda Viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam, kushiriki maandhimisho ya siku ya wanawake Duniani
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013