Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambae pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifafanua jambo katika moja ya vikao vya kamati kuu
Murtaza Mangungu - Mwenyekiti wa Klabu ya Simba
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.