Baadhi ya wananchi wakiwa wamefunga barabara baada ya kudai mwenzao mmoja ameuwawa kwa makusudi na Polisi
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013