Waziri wa Uchukuzi na mbunge wa Kyela akitembelea baadhi ya maeneo yaliyothirika na mafuriko Wilayani Kyela
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013