Rais Kikwete na Rais Goodluck Jonathan wakiwa kwenye moja ya vikao vya mkutano wa Uchumi kwa bara la Afrika nchini Nigeria
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.