Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na mwenzake wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt Ali Mohammed Shein, wakionyesha juu Rasimu ya Katiba Inayopendekezwa.
Aliewahu kuwa Waziri katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi,na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Marehemu Bi. Asha Bakari Makame