Watoto picha na maktaba
Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohammed Shein, akiwa katika hospitali kuu ya Mnazi Mmoja kisiwani Zanzibar, alipomtembelea mmoa wa majweruhi wa tukio la kumwagiwa tindikali.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.