Bondia Francis Cheka akiwa amebebwa juu juu mara baada ya kutangazwa mshindi na kutwaa mkanda wa mabara wa WBF.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013