Katibu mkuu kiongozi balozi Ombeni Sefue. Ofisi yake imekana kuwa na taarifa ya tuhuma za kuingilia mambo ya ndani zinazomkabili balozi wa Uingereza nchini Bi. Dianna Melrose.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi, Nape Nauye
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Luten Kanali Mstaafu Issa Machibya.