Mratibu wa Huduma za Maji, Afya na Mazingira kutoka Wizara ya Elimu, Sayansi na Ufundi Bi. Theresia Kuiwete.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.