Mkurugenzi Mkuu wa FSDT Sosthenes Kewe (wa kwanza kulia) akiwa na Gavana wa Benki Kuu katika moja ya shughuli zilizofanywa na taasisi hiyo hivi karibuni.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telack.