Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk. John Haule akiwa pamoja na wachezaji na viongozi wa timu ya Taifa Stars.
Kocha Mkwasa akiwa na makocha wenzake na baadhi ya wachezaji wa Stars jijini Nairobi.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM mkoani Mtwara Mohamed Sinani.
Msanii wa filamu Wema Sepetu
Picha za Marais wa Nchi ya Tanzania, Uganda na Kenya ambao wanavutana kuhusu Ujenzi wa bomba la mafuta