Waziri Mkuu Kassim Majaliwa awasili Lusaka, Zambia, Kwenye Mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.