Msanii Young D (katikati) akiwa na watangazi wa kipindi cha 5SELEKT, Tbway 360 na Vanila
Wasanii wanaowania tuzo za EATV wakizungumza na wanafunzi wa UDSM katika ukumbi wa Nyerere Theatre 1, Mlimani
Meneja Masoko kutoka Benki ya Barclays Tanzania Joe Bendera (Kushoto) akijibu maswali ya wanafunzi wa UDSM, akiwa na washiriki wa EATV Awards Racheal Bithulo (Katikati) na Bright (Kulia)
Bi. Helen Siria - Meneja Mawasiliano na Huduma za Jamii kutoka Barclays




