Waziri wa Katiba na Sheria Mh Dkt. Asha-rose Migiro akitoa salama za Rambirambi kwa niaba ya Serikali wakati wa Mazishi ya Kepteni John Nyerere.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi, Nape Nauye