MBUNGE wa Jimbo la Arsuha Mjini, Godbless Lema,amesitisha maandamano ya kuishinikiza Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),kuongeza muda.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telack.
Wanariadha wakichuana katika michuano ya taifa ya riadha iliyoanza hii leo jijini Dar es salaam