Mwenyekiti mwenza wa vyama vinavyounda Umoja wa katiba ya wananchi nchini Tanzania UKAWA Bw. Freeman Mbowe
Mkuu wa kitengo Cha mawasiliano na Uenezi wa NCCR Edward Simbeye
Wawakilishi wa vijana kutoka Afrika mashariki pamoja na balozi wa vijana katika jumuiya ya Madola kwa pamoja wamekutaka katika Kituo cha Maendeleo ya Kimataifa cha MS TCDC-USA RIVER Arusha.