Afisa masoko wa mpango wa taifa wa damu salama Bw. Rajab Mwenda (kulia) akiwa katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.