Mkurugenzi mkuu wa tume ya taifa ya sayansi na teknolojia, Dkt Hassan Mshinda (kushoto), akiwa na afisa habari wa tume hiyo Theophil Pima (katikati) wakiwa katika mahojiano na baadhi ya waandishi wa habari hivi karibuni.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi, Nape Nauye
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete