Rais Kikwete na Rais Goodluck Jonathan wakiwa kwenye moja ya vikao vya mkutano wa Uchumi kwa bara la Afrika nchini Nigeria
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.