Mabondia wa ngumi za ridhaa wakichuana katika moja ya michuano ya Temeke.
Mabondia wakichuana katika moja ya michuano ya ngumi Temeke.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.