Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Jaji Frederick Werema akizungumza na Waandishi wa Habari hawapo Pichani.
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Mwenyeekiti wa DARCOBOA Sabri Mabrouk