Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki wa BoT Bw. Emmanuel Boaz (kulia) akionyesha sarafu mpya ya shilingi mia tano ambayo itaanza kutumika Oktoba Mosi mwaka huu.
Murtaza Mangungu - Mwenyekiti wa Klabu ya Simba
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.