Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete akihutubia katika kongamano la siku tatu kuhusu mikakati mipya ili kutokomeza ukosefu wa ajira,
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.