Mbunge wa Mbeya Vijijini Bw. Oran Njeza akiwa katika moja ya shughuli zake za ukulima.
Mbunge huyo ni mtaalamu wa kimataifa wa masuala ya benki na pia ni mfanyabiashara aliyewekeza kwenye shughuli za kilimo.

23 Mar . 2016

Mbunge wa jimbo la Sikonge nchini Tanzania Mh. Saidi Nkumba.

17 Sep . 2014