Kikosi cha wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika timu ya Yanga SC.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.