Francis Miyeyusho akiwa hoi baada ya kupigwa kwa TKO na Sukkassem Kietyongyuth wa Thailand. Hii ilikuwa April 19 mwaka huu katika ukumbi wa PTA-Sabasaba. Pambano hilo halikuwa la ubingwa.
Murtaza Mangungu - Mwenyekiti wa Klabu ya Simba
Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Tandari iliyopo Mkoani Morogoro Seleman Shemsanga
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.