Msemaji wa wizara ya afya na ustawi wa jamii Nsachris Mwamwaja (katikati) akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa idara ya habari MAELEZO hivi karibuni.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Mwenyeekiti wa DARCOBOA Sabri Mabrouk
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Mabasi katika kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo kama yanavyoonekana pichani kufuatia mgomo wa madeereva nchi nzima.