Waziri wa afya na ustawi wa jamii Dkt Seif Rashid. Wizara yake imeombwa kuangalia uwezekano wa kuruhusu dawa asilia zitumike katika hospitali na zahanati za umma.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.