Afisa masoko wa mpango wa taifa wa damu salama Bw. Rajab Mwenda (kulia) akiwa katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Nahodha wa Mchenga BBall Stars, Mohammed Yusuph 'Muddy' (kushoto) akiwa na mchezaji bora Rwahabura Munyangi
Irene Uwoya - Msanii wa filamu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitembelea Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Morogoro Jana