Wakili wa upande wa mlalamikaji John Malya akizungumza na vyombo vya habari baada ya kuairishwa kwa kesi hiyo hapo jana.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.