Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu,akihutubia mkutano wa 69 wa afya duniani unaoendela nchini Geneva-Uswisi.
Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Burundi ,Intamba mu Rugamba' wakiimba wimbo wa taifa lao kabla ya moja ya mchezo
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas ,
Watumishi wakiwa nje ya Jengo la Mwaisela lililopo ndani ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Mtangazaji na Dj mkongwe wa kituo maarufu cha EA Radio Emsley Smith aka Baba T