Meneja Uhusiano wa Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi Stadi nchini VETA, Bw. Sitta Peter.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.