Mwezeshaji wa semina ya wanahisa kutoka makao makuu ya CRDB, Dar es Salaam, Ngeleja mcharo.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.