mwanasoka wa Tanzania Mbwana Samatta aliyetwaa Tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika wa CAF
Mbwana Samatta akipokea tuzo yake ukumbi wa mikutano wa kimataifa mjini Abuja
Jinsi moto ulivyokuwa unaunguza soko la mitumba la Karume jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa ziarani wilayani Ngorongoro alipokwenda kufanya mkutano na watu wa jamii za wamasai na wasonjo Septemba, 2013
Mwenyeekiti wa DARCOBOA Sabri Mabrouk