Wananchi wakiwa wamejitokeza katika uandikishaji wa daftari la kudumu kwa mfumo wa BVR.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.