Waziri Mkuu, Mhe Mizengo Pinda (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Watendaji wa Benki ya NMB mara baada ya kupokea vifaa mbalimbali
Riderman akiwa katika pozi
Afande Sele
Naibu Afisa Mtendaji Mkuu wa Deloitte Kanda ya Afrika Mashariki Bw. Joe Eshun.
Mkuu wa MICT tawi la Arusha Bw. Samuel Akorimo, akisalimiana Balozi Irene Kasyanju.