Mkuu wa Wilaya ya Arusha Christopher Kangoye akizungumza katika uzinduzi wa juma la chanjo.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.