Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bi. Anne Makinda akitoa taarifa kwa Wabunge.
Katibu wa kongamano la Baraza la Wanawake wa kiislamu Wilaya ya Kongwa Mariam Issa Msami.
Mzigo wa miwa ukiwa tayari umeshushwa kutoka kwenye gari la mizigo katika soko la Tandale.